Tutegemee kusikia chochote kutoka kwa Mweusi JOH MAKINI na rapper KO?
Joh Makini amekutana na Rapa KO wa kundi la Tearsgas, halafu Joh ameweka picha Instagram wakiwa ndani ya studio na kuandika; “#Studio_flow with #KO @mrcashtime himself #2KINGS #ARUSHA_MEETS_JOHANNESBURG #2015 #GODENGINEERING #WEUSIMEETSCASHTIME #amonmyway” –@joh_makini
Katika harakati za kuhakikisha muziki unaenda kwenye level za kimataifa, tumeona juhudi za wasanii wetu wakiongeza nguvu na kujisogeza wenyewe kwenye level hizo kila siku.
Kila la kheri kwa mtu wetu MWEUSI Joh Makini kama kitatokea chochote kwenye muunganiko huu basi nitakusogezea pia.
Related Post:
JE AKON ALIKUWA ANAJIKINGA NA EBOLA? Wiki hii Akon amejikuta akishutumiwa vikali na mashabiki wa muziki barani Afrika kwa kuamua ku… Read More
Slim Thugs Amtukana Kobe Bryant Rappa ambae aliwahi fanya vizuri kupitia wimbo wa check on it alioshirikishwa na Beyonce Kn… Read More
Chid Benz arudishwa rumande kwa kushindwa masharti ya dhamana Milioni 1,kesi yake kutajwa Nov 11 … Read More
ROSE AUMIA KUANDIKWA AMEBAKWA Msanii wa filamu nchini Rose Ndauka ameweka wazi kuwa kitendo kilichowahi kumsikitisha katika… Read More
BAADA YA KUNYAKUA MILIONI 50 - MWANAFAA AUAMUA KUHAMIA DAR Mshindi wa shindano la kusaka vipaji la lillojulikana kwa jina la Tanzania Movie Talent (… Read More
Posted by Unknown
on Saturday, February 21, 2015,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "Tutegemee kusikia chochote kutoka kwa Mweusi JOH MAKINI na rapper KO?"
Post a Comment