BAADA YA KUFANYA MAKOSA AAMUA KUYATUNGIA KITABU
Baada ya kugundua amefanya makosa tofauti tofauti Aliyekuwa mke wa rapa Wiz Khalifa ‘Amber Rose’ ametangaza ujio wa kitabu chake kuhusu makosa aliyofanya kwenye maisha yake mpaka kupelekea yeye kuwa kama alivyo.
Kitabu kitaitwa “How To Be a Bad B*tch” na kinategemewa kutoka November 2015. Kitabu kitachapishwa na kampuni ya Simon & Schuster.
Kuna uvumi kuwa Kim Kardashian amemuomba dada yake ‘Khloe’ amalize beef yao na Amber sababu Amber ana siri nyingi za Kanye West.
Related Post:
KANYE WEST 'MUNGU MTU' ? Picha inayomuonesha rapa wa Marekani Kanye West kuwa Mungu, kanisa jipya lamuabudu … Read More
MWANALIZOMBE STUDIO NOW OPEN…. … Read More
NIVA ACHEZEA KICHAPO KUTOKA KWA DEMU WAK Mcheza filamu Zuberi Mohamed‘Niva’ juzi alijikuta akipata fedhea ba… Read More
PICHA IKIMUONYESHA JUAN MATA UWANJA WA NDEGE KUELEKEA MANCHESTER JUAN MATA AKIWA TAYARI MAENEO Y… Read More
TAZAMA PICHA JINSI MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED WALIVYOZIMIA JANA HATIMAYE MAN UNITED ATOLEWA NA SUNDERLAND KATIKA MIKWAJU YA PENALTI. SASA F… Read More
Posted by Unknown
on Saturday, February 21, 2015,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "BAADA YA KUFANYA MAKOSA AAMUA KUYATUNGIA KITABU "
Post a Comment