Rekodi ya List ya Collabo za Muziki zilizofanya vizuri mwaka 2014
Ikiwa imebaki saa chache kumaliza mwaka, tathimini bado zinafanyika kwa mambo ambayo yametokea mwaka mzima.
Burudani mara zote imekuwa karibu na maisha yetu, ikiwemo muziki.
Kwenye rekodi mbalimbali zilizovunjwa kwa kufanya vizuri mwaka huu, ipo hii ya list ya Top Ten ya zile Collabo zitakazokumbukwa zaidi kwa kufanya vizuri Mwaka 2014 kwenye muziki.
1Hangover- Psy feat. Snoop Dogg.
Flawless (Remix)- Beyonce feat. Nicki Minaj.
Sing- Ed Sheeran feat. Pharrell Williams.
Uptown Funk- Mark Ronson feat. Bruno Mars.
Bang Bang- Jessie J feat. Ariana Grande & Nicki Minaj.
Love Never Felt So Good- Michael Jackson feat. Justin Timberlake.
Can’t Remember to Forget You- Shakira feat. Rihanna.
Fancy- Iggy Azalea feat. Charli XCX.
Dark Horse- Katy Perry feat. Juicy J.
Ew!- Jimmy Fallon feat. Will.i.am.
Kilichonishtua kwenye list hii kuna majina machache sana ya mastaa.
Related Post:
CLEAF PRODUCER BLOG INAWATAKIA EID MUBARAK WAPENZI NA WASOMAJI WAKE WOTE........ Mtandao wetu unawatakia Eid yenye furaha na upendo kwa kila mmoja,pia tusheherekee kwa amani n… Read More
SIMU NDIO CHANZO CHA DIDA KUACHANA NA EZDEN Dida Shaibu, mtangazaji wa kipindi cha Mitikisiko ya Pwani amefunguka Exclusively kupitia Sunr… Read More
DIAMOND KAWADANGANYA MASHABIKI ??? WASANII wa Tanzania wenye mashabiki wengi Afrika Mashariki, Lady Jay Dee na Diamond Platinum… Read More
MO MUSIC AFUNGUKA AELEZEA MAFANIKIO YA WIMBO WAKE WIMBO wa Basi Nenda wa msanii kutoka Mwanza, Mo Music kwa haraka haraka ni moja kati ya … Read More
QUICK ROCKA 'AJITAPA' Naamini umewahi kushuhudia Live Performance nyingi za wasanii wa Bongo Fleva hasa mwaka 2014/2… Read More
Posted by Unknown
on Wednesday, December 31, 2014,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "Rekodi ya List ya Collabo za Muziki zilizofanya vizuri mwaka 2014"
Post a Comment