Mabibi na Mabwana Weusi wanakualika kuisikiliza hii remix ya single yao
Weusi kutokea Arusha wamekuja na remix ya single yao Gere ambapo time hii wamewakusanya wasanii tofauti wa Afrika Mashariki akiwemo Rapper Navio wa Uganda, Collo wa Kenya, Naaziz, Rabbit wa Kenya.
Ukishaisikiliza HAPA usiache kuniandikia lako la moyoni ili Weusi wakipita hapa pamoja na wasanii wengine waone watu wao mnasema nini kuhusu hiyo audio.
Posted by Unknown
on Monday, December 29, 2014,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "Mabibi na Mabwana Weusi wanakualika kuisikiliza hii remix ya single yao"
Post a Comment