Mabibi na Mabwana Weusi wanakualika kuisikiliza hii remix ya single yao
Weusi kutokea Arusha wamekuja na remix ya single yao Gere ambapo time hii wamewakusanya wasanii tofauti wa Afrika Mashariki akiwemo Rapper Navio wa Uganda, Collo wa Kenya, Naaziz, Rabbit wa Kenya.
Ukishaisikiliza HAPA usiache kuniandikia lako la moyoni ili Weusi wakipita hapa pamoja na wasanii wengine waone watu wao mnasema nini kuhusu hiyo audio.
Related Post:
Official Video | Vanessa Mdee[V Money], Aika, Nahreel, Avid na Barnaba - WCD | watch&download &nbs… Read More
Kisa kilichomkuta jamaa wakati wa jaribio la kuiba hela kwenye ATM, tazama video hapa Siku za mwizi ni arobaini, huyu zake zilifika hivi. Jamaa mmoja Australia alifika katika ATM l… Read More
Kuhusu huyu aliyeuwawa kwa risasi Mahakamani Dar es salaam leo. Saa kadhaa zilizopita Polisi walimfyatulia risasi mtuhumiwa aliejaribu kutoroka baada ya kufikishwa… Read More
Kisa kilichomkuta jamaa wakati wa jaribio la kuiba hela kwenye ATM, tazama video hapa Siku za mwizi ni arobaini, huyu zake zilifika hivi. Jamaa mmoja Australia alifika katika ATM l… Read More
Ni habari nyingine tena…Kim Kardashian na Kanye West wanunua jumba la Kifahari Hawa ni mastaa ambao wameendelea kuchukua Headlines kila kukicha na kujipatia mamilioni ya pesa kup… Read More
Posted by Unknown
on Monday, December 29, 2014,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "Mabibi na Mabwana Weusi wanakualika kuisikiliza hii remix ya single yao"
Post a Comment