Kuhusu huyu aliyeuwawa kwa risasi Mahakamani Dar es salaam leo.
Saa kadhaa zilizopita Polisi walimfyatulia risasi mtuhumiwa aliejaribu kutoroka baada ya kufikishwa kwenye Mahakama ya Kisutu Dar es salaam asubuhi ya December 31 2014.
Muda mfupi baadae Polisi ikatoa taarifa kwamba mtuhumiwa wa dawa za kulevya aliyeuwawa ni Abdul Koroma raia wa Sierra Leone na aliuwawa kwa risasi wakati akitoroka Mahakamani.
millardayo.com
Related Post:
Sad: Msanii Wa Bongo Flava Side Boy Mnyamwezi Afariki Habari za kusikitisha zilizothibitishwa, zinaeleza kuwa msanii wa bongo aliyekuwa anajulika… Read More
Video: Rihanna kuigiza filamu ya 'James Bond' Ripoti zilizotolewa na gazeti la Sunday Mirror zinaeleza kuwa waandaaji wa movie za Bond wam… Read More
SOMA ALICHOKIANDIKA 'MASANJA MKANDAMIZAJI' BAADA YA DIAMOND KUMZAWADIA GARI 'WEMA' … Read More
Picha: Beyonce apata shida baada ya nguo kufunguka na kuacha kifua chote wazi akiwa jukwaani Beyonce Knowles alipata tatizo la aina yake alipowasapraiz mashabiki wake kwa kuungana jukwa… Read More
Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa saa nane usiku, Wiz asema alifanya makusudi Uamuzi wa Amber Rose kutaka kutalakiana na mumewe Wiz Khalifa ulizua maswali mengi huku ‘uchep… Read More
Posted by Unknown
on Wednesday, December 31, 2014,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "Kuhusu huyu aliyeuwawa kwa risasi Mahakamani Dar es salaam leo."
Post a Comment