Home » Uncategories » Ni habari nyingine tena…Kim Kardashian na Kanye West wanunua jumba la Kifahari
Ni habari nyingine tena…Kim Kardashian na Kanye West wanunua jumba la Kifahari
Hawa ni mastaa ambao wameendelea kuchukua Headlines kila kukicha na kujipatia mamilioni ya pesa kupitia kazi zao.
Kim Kardashian na mumewe Kanye West wameamua kununua jumba lingine la kifahari la jirani yao katika jiji la Los Angeles lenye thamani ya dola za Marekani milioni 3 kwa lengo la kuongeza mali zao zenye utajiri wa zaidi ya dola za Marekani milioni 20.
masiveWawili hao walipanga kujenga sehemu kubwa kwa ajili ya watoto wao,uwanja wa basketball,sehemu ya kuangalia filamu,sehemu ya michezo,spa kwa ajili ya Kim,eneo la wageni pamoja na studio itakayokua maalum kwa ajili ya Kanye kumsaidia kutokwenda sehemu nyingine yoyote kurekodi kazi zake.
Related Post:
GAVIN PASLOWONE ANUNUA USHETANI MWANAUME mwenye umri wa miaka 43, anayejulikana kwa jina la Gavin Paslowone anayeish… Read More
JENNIFER LOPEZ AJIMWAGA Mwanamuziki Jennifer Lopez alifanya shooting ya video zake mbili za muziki ambapo moj… Read More
MMASAI WA KWANZA ANAENDESHA NDEGE AINA YA AIRBUS YA FAST JET William Zelothe Stepehen akiwa ndani ya ndege aina ya Airbus A319. William Zelothe S… Read More
KATIKA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI WATANZANIA WAONGOZA KUSHEREHEKEA SIKU YA WAPENDANAO, IKIWA kila ifikapo Februari 14 ni siku ya wapendanao duniani, utafiti uliofanywa na shirika … Read More
BASATA YAZIDI KUMWEKEA NGUMU SNURA &… Read More
Posted by Unknown
on Wednesday, December 31, 2014,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "Ni habari nyingine tena…Kim Kardashian na Kanye West wanunua jumba la Kifahari"
Post a Comment