Hii ni furaha nyingine kwa familia ya mwanamuziki Alicia keys na Swizz Beatz…
Safari hii ni zamu ya familia ya mastaa wawili wa Marekani, Alicia keys na mume wake ambaye ni producer mkali, Swizz Beatz kupata mtoto usiku wa Dec 27 na kuifanya siku hiyo kuwa ya furaha kwa kuongeza mwanafamilia.
Mtoto wa mastaa hao ni wa kiume aliyepewa jina la Genesis Ali Dean, huyu ni pili wa kwanza ni Egypt Daoud, waliompata miaka minne iliyopita.
Alicia alielezea furaha yake kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kushare kadi yenye iliyoonyesha kuzaliwa mtoto wake na kuandika. “The joy of joy is joy!! It’s a boy… We are so grateful!! #blessings!!”– @aliciakeys
Related Post:
POLENI DADA ZANGU KWA FASHION HII MPYA YA VIATU NA NYWELE...SIJUI KAMA MTAZIWEZA HIZI FASHION … Read More
WOLPER , KAJALA WAPINDUANA Msanii wa muziki wa… Read More
NAFASI ZA KAZI KUTOKA CHUO CHA USHIRIKA MOSHI HIZI HAPA CHANGAMKIA The Moshi University College of Co-operative and Business Studies (MUCCoBS) has its Miss… Read More
ALI KIBA AKIFANYA YAKE STUDIO MSANII wa muziki wa kizazi kiya nchini Ali Kiba ameonekana akiwa yupo studio na mtayarishaji wa … Read More
UPDATES::KUHUSU KUKAMATWA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA,MH. MBOWE, MH. HALIMA MDEE NA MH. PETER MSIGWA NA JESHI LA POLISI MKOANI IRINGA Akizungumza kwa njia ya simu Ripota wa Mtandao huu, alisema kuwa, Viongozi hao wa Chadema, wam… Read More
Posted by Unknown
on Monday, December 29, 2014,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "Hii ni furaha nyingine kwa familia ya mwanamuziki Alicia keys na Swizz Beatz…"
Post a Comment