Latest Updates

MTOTO MWINGINE WA MICHAEL JACKSON AJITOKEZA

Mapya yanaendelea kuibuka baada ya kifo cha mfalme wa Pop duniani Michael Jackson ambapo hivi sasa kijana mwenye umri wa miaka 31 anayejulikana kwa jina la Brandon Howard, amejitokeza na kudai kuwa ni mtoto wa mwanamuziki huyo.
Kijana huyo alienda mbali zaidi na kudai kuwa anaushahidi wa vipimo vya DNA kwa kuthibitisha hilo. Vyanzo vya karibu vya kijana huyo vilieleza  vimesema Miki na Michael Jackson walikutana mwaka 1982 na Brandon akazaliwa kipindi hicho. Kwa mujibu wa chanzo hicho, Brandon ana uhakika kwa sababu alifanikiwa kupata kifaa alichokuwa anavaa Michael (haijajulikana alipataje), lakini inaelezwa kwamba DNA (vinasaba) vinaendana

0 Response to "MTOTO MWINGINE WA MICHAEL JACKSON AJITOKEZA "

Post a Comment