Baada ya kutamba na vibao vyake kama Fimbo, Nivute kwako,Unataka nini,Msanii wa kizazi kipya Mwanaisha Nyange a.k.a. Dayna anatarajia kwenda Uchini Uganda kutengeneza wimbo wake ambao atashirikiana na msaanii Cinderella Sanyu Cidy.alizungumza amesema ndoto yake ilikuwa kufanya kazi na msanii huyo kutoka Uganda..Aliongeza kwa kusema kuwa walipanga kufanya kazi hiyo jijini mwanza ila kutoka na ufinyu wa muda kwa msanii mwenzie imembidi kumfata huko Uganda..aliongeza kuwa muda wowote mwezi ujao atasafiri kwenda nchini Uganda..
DYNA & CITY KUPIGA NGOMA MOJA
Baada ya kutamba na vibao vyake kama Fimbo, Nivute kwako,Unataka nini,Msanii wa kizazi kipya Mwanaisha Nyange a.k.a. Dayna anatarajia kwenda Uchini Uganda kutengeneza wimbo wake ambao atashirikiana na msaanii Cinderella Sanyu Cidy.alizungumza amesema ndoto yake ilikuwa kufanya kazi na msanii huyo kutoka Uganda..Aliongeza kwa kusema kuwa walipanga kufanya kazi hiyo jijini mwanza ila kutoka na ufinyu wa muda kwa msanii mwenzie imembidi kumfata huko Uganda..aliongeza kuwa muda wowote mwezi ujao atasafiri kwenda nchini Uganda..
Related Post:
ANGALIA HAPA Lady Jaydee - HistoriaOfficial Music Videohttp://www.youtube.com/watch?v=oUmvrRfFqfs… Read More
P.DIDDY AMGANDA CASSIE Baadhi ya watu wengi wamekuwa wakijuuliza maswali mbalimbali juu ya mapenzi yanayooneka… Read More
RIHANNA AJIPANGA KUGHARAMIA MAZISHI YA SHABIKI WAKE 2 MUIMBAJI wa muziki nchini Marekani Rihanna ameamua kugharamia mazishi ya shabiki wake mw… Read More
MMASAI WA KWANZA ANAENDESHA NDEGE AINA YA AIRBUS YA FAST JET William Zelothe Stepehen akiwa ndani ya ndege aina ya Airbus A319. William Zelothe S… Read More
ROSE MUHANDO MBARONI! Stori: Mwandishi WetuSTAA wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando yamemkuta ya kumkuta ambapo… Read More
Posted by Unknown
on Wednesday, February 26, 2014,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "DYNA & CITY KUPIGA NGOMA MOJA "
Post a Comment