Shoo hiyo ambayo ilikuwa na lengo la kuamsha jamii ya washairi na fikra mbadala juu ya mambo yanayowazunguka ambapo jana mashabiki waliohudhuria walishuhudia wasichana pepekee wakitumbuiza wakiwemo Aichi, Kethi, Charlotte O’Neal maarufu kama Mama C, Jade, Vanessa Mdee, Grace Matata, Elizabeth Mwakijambile na wengine
BY Pro24
0 Response to "Show ya Cheusi dawa Uraibu wa Ushairi"
Post a Comment