Msanii chipukizi anaechipukia jina lake kamili ni Adam Mustafa kwa jina
la sanaa ni Chismo, alishawai kusikika na skendo ya kuibiwa wimbo wake
na Rich Mavoco na kufanya vizuri “Folow me” ameingia mkataba na kampuni
ya Machapta chini ya Machapta Inc kwaajili ya usimamizi wa muziki wake
kwa miaka mitatu.

Kwasasa Chismo amesha saini mkataba huo na yupo mbioni kukamilisha video
yake ya kwanza kufanya katika kampuni hiyo jumapili hii na ameshaanza
kurecord nyimbo katika studio tofauti tofauti za hapa nchini.
Kwa upande wake Chismo anafunguka na kusema nilianza mziki kama dansa na
nilifanya kazi ya udansa kwa Bob Junior nikatoka nikaenda kwa Dully
Sykes nandipo nikaamua kuungana na Baby J lakini ndoto yangu haiku
kamilika na kunakipindi Tunda man alikua anafanya poa nikaamua kumuomba
na akanikubalia kwakua alikua anaona uwezo wangu ila muda ulivyo zidi
kwenda ndio nikakutana na Rich Mavoco na nikafanya nae pia kazi lakini
nikiwa nae mazoezini Rich nilikua naimba nyimbo yangu ya Folow me na
yeye alikua anaipenda sana na akawa ananirecod kumbe mwezangu akaingia
stodio na kufanya kweli, Kote nilipo pita ilikua kama sehem yangu ya
kujifunzia tu.Machapta Inc ni Lebo mpya iliyo zaliwa chini ya Machapta
Production iliyopo kinondoni vijana...
0 Response to "MSANII ALIE WAI KUIBIWA WIMBO WA FOLOW ME NA RICH MAVOCO APATA USIMAMIZI. "
Post a Comment