Msanii chipukizi anaechipukia jina lake kamili ni Adam Mustafa kwa jina
la sanaa ni Chismo, alishawai kusikika na skendo ya kuibiwa wimbo wake
na Rich Mavoco na kufanya vizuri “Folow me” ameingia mkataba na kampuni
ya Machapta chini ya Machapta Inc kwaajili ya usimamizi wa muziki wake
kwa miaka mitatu.
Kwasasa Chismo amesha saini mkataba huo na yupo mbioni kukamilisha video
yake ya kwanza kufanya katika kampuni hiyo jumapili hii na ameshaanza
kurecord nyimbo katika studio tofauti tofauti za hapa nchini.MSANII ALIE WAI KUIBIWA WIMBO WA FOLOW ME NA RICH MAVOCO APATA USIMAMIZI.
Posted by Unknown
on Sunday, November 3, 2013,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "MSANII ALIE WAI KUIBIWA WIMBO WA FOLOW ME NA RICH MAVOCO APATA USIMAMIZI. "
Post a Comment