Latest Updates

MR NICE ATAPELI TENA KENYA?


Baada ya kutemwa kwenye mkataba na kampuni ya Grand Pa Mr Nice amejikuta akisaini mkataba mwingine na kampuni kubwa ya muziki nchini Kenya inayojulikana kwa jina la Candy &Candy Records amejikuta akimtibuwa tena meneja wake na kupotea kusiko julikana akiwa na baadhi ya vitu vya lebo hiyo.
Kupitia mahojiano yaliyofanywa na mmoja ya chombo cha habari hapa jijini Mkurugenzi wa lebo hiyo Joe Kariuki amedai kuwa hajaonana na msanii huyo aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja na kampuni hiyo kwa muda wa mwezi mmoja

0 Response to "MR NICE ATAPELI TENA KENYA?"

Post a Comment