Rapa P Diddy ametoa siri ya baba yake mzazi aliyejulikana kwa jina la
Melvin Combs iliyokuwa ikimtesa kipindi chote hicho kuwa baba yake huyo
aliyefariki dunia wakati yeye akiwa na umri mdogo alikuwa ni
mfanyabishara wa dawa za kulevya.
Aliweka wazi kuwa anajivunia urithi alioachiwa na baba yake wa kutafuta fedha ingawa yeye anatafuta kwa njia ya halali.
BY Pro24
BABA YAKE P DIDDY ALIKUWA MFANYABIASHARA DAWA ZA KULEVYA
Related Post:
TAZAMA PICHA SALIM KIKEKE, LULU, MILARD AYO, KING MAJUTO WAIBUKA VINARA KATIKA SHEREHE ZA UTOAJI T… Read More
TRA waanza rasmi ukaguzi na urasimishaji wa kazi za muziki na filamu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza kuanza rasmi ukaguzi na urasimishaji wa kazi za … Read More
TAZAMA PICHA SALIM KIKEKE, LULU, MILARD AYO, KING MAJUTO WAIBUKA VINARA KATIKA SHEREHE ZA UTOAJI T… Read More
THINK LIKE A MAN PART 2 YAMUIBUA MERY J BLIGE Muimbaji Mary J Blige amerejea mzigoni akiachia video ya … Read More
Justin Bieber atoa msaada katika ajali ya gari iliyowahusisha watoto wa Mayweather Justin Bieber aambaye amewahi kuingia katika matukio ya ajali ya gari mara kadhaa, Jumapili … Read More
Posted by Unknown
on Sunday, November 3, 2013,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "BABA YAKE P DIDDY ALIKUWA MFANYABIASHARA DAWA ZA KULEVYA "
Post a Comment