Rapa P Diddy ametoa siri ya baba yake mzazi aliyejulikana kwa jina la
Melvin Combs iliyokuwa ikimtesa kipindi chote hicho kuwa baba yake huyo
aliyefariki dunia wakati yeye akiwa na umri mdogo alikuwa ni
mfanyabishara wa dawa za kulevya.
Aliweka wazi kuwa anajivunia urithi alioachiwa na baba yake wa kutafuta fedha ingawa yeye anatafuta kwa njia ya halali.
BY Pro24
BABA YAKE P DIDDY ALIKUWA MFANYABIASHARA DAWA ZA KULEVYA
Posted by Unknown
on Sunday, November 3, 2013,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "BABA YAKE P DIDDY ALIKUWA MFANYABIASHARA DAWA ZA KULEVYA "
Post a Comment