Haya ni baadhi ya malumbano yaliyotokea kwa mbunge wa Bumbuli Bw.
January Makamba pamoja na msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Lady
Jaydee kwa kile kinachodaiwa kuandikwa na mbunge huyo kwenye ukurasa
wake wa mtandao wa kijamii juu ya ushindani unaofanywa na baadhi ya
mapromoto ya kuwaleta wasanii kutoka nje ya nchi.
MALUMBANO BAINA YA LADY JAYDEE NA JANUARY MAKAMBA
Posted by Unknown
on Tuesday, November 26, 2013,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "MALUMBANO BAINA YA LADY JAYDEE NA JANUARY MAKAMBA"
Post a Comment