Ile hukumu ya rufaa ya mwanamuziki Nguza Viking na mwanaye Johnson Nguza
'Papii Kocha' imewarejesha jela maisha baada ya hoja za serikali za
kukazia hukumu kuzidi zile za upande wa utetezi.Babu Seya na Papii Kocha
walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya kupatikana na
hatia ya kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi, Mashujaa, Sinza jijini
Dar ambapo wamekuwa wakikata rufaa mara kwa mara lakini wakagonga
mwamba. Hukumu hii ya rufaa ndiyo ya mwisho kusikilizwa.
0 Response to "BREAKING NEWS : PAPII KOCHA WAREJESHWA JELA MAISHA BAADA YA WASHINDWA TENA "
Post a Comment