Hii ni Good news kutoka kwa Ay, Shaa, Fid Q na Sauti Soul Mwaka 2015
Wakali kutokea Tanzania, Fareed Kubanda aka Fid Q, Shaa pamoja na A.Y wakiwa bado wapo nchini Kenya wameingia studio na kundi la Sauti sol kurekodi single mpya.
Kupitia kwenye Instagram, Sauti Sol wamepost dakika chache zilizopita na kuandika; “Last night we were part of something phenomenon.It was great working with true artists lyrical geniuses. @aytanzania @shaa_tz @bienaimesol @fancy_fingers @iamchimano“– @sautisol
Related Post:
MILA NA ASHTON WAPATA MTOTO Waigizaji maarufu, Mila Kunis na Ashton Kutcher wamemkaribisha duniani mtoto wao wa kwanza wakiwa … Read More
DAKTARI ASHTAKIWA KWA KUSABABISHA KIFO CHA MUIGIZAJI MAARUFU Melissa ambaye ni mtoto wa muigizaji na mkosoaji maarufu wa mavazi kupitia vipindi vya runinga, Jo… Read More
BEN POL AWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE MSANII wa muziki miondoko ya R&B, Ben Pol ameweka wazi kuwa mahusiano pekee yaliyodumu kwa mu… Read More
BELLE 9 KUTOFANYA KAZI NA DIAMOND???? BAADA ya kuonekana anafanya vizuri katika soko la muziki wa kizazi kipya nchini Diamond Platinum, … Read More
TANZANIA YAANZA VYEMA KATIKA SIKU YA KWANZA YA BIG BROTHER AFRIKA Mwanadada Laveda kutoka Tanzania akilakiwa kwa shangwe alipoingia ndani ya jumba la Big Brother… Read More
Posted by Unknown
on Friday, March 6, 2015,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "Hii ni Good news kutoka kwa Ay, Shaa, Fid Q na Sauti Soul Mwaka 2015"
Post a Comment