RIYAMA AZUNGUMZIA MAISHA YAKE YA KIMAPENZI
MWIGIZAJI Nyota katika tasnia ya filamu Nchini Riyama Ali amefunguka kwa kusema kuwa upendo wake kwa mpenzi wake ni wa kila siku hauna siku maalum kwani haoni faida ya kuwa na upendo wa kuchaguliwa na mtu hivyo haoni umuhimu wa Valentine Day kwani si mtu wa namna hiyo.
“Nampenda laazizi wangu siku zote sioni umuhimu wa mambo ya kuigi ya wazungu eti niwe na siku ya maalum ya kumuonyesha upendo mpenzi wangu siwezi, wala kuvaa nguo za rangi.”anasema Riyama.
Riyama anasema kuwa anaamini kuwa siku kama hiyo kwa kuiga inaweza kuwa ni siku ambayo inasababisha mahusiano mapya na kuvunjika kwa mapenzi ya zamani, kwa sababu ya kuiga tamaduni kutoka nje wakati tayari tuna tamaduni zetu, yeye haoni faida ya kuiga vitu ambavyo si utamaduni wa kwake.
Related Post:
LULU ATEMBELEA OCEAN ROAD Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu' leo amefanya ziara ya kutembelea katika hospi… Read More
MSANII ALIE WAI KUIBIWA WIMBO WA FOLOW ME NA RICH MAVOCO APATA USIMAMIZI. Msanii chipukizi anaechipukia jina lake kamili ni Adam Mustafa kwa jina la san… Read More
MR NICE ATAPELI TENA KENYA? Baada ya kutemwa kwenye mkataba na kampuni ya Grand Pa Mr Nice amejikuta akisaini mkat… Read More
BEIBY MADAHA AGAWA ZAWADI KWA MASHABIKI Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini ambaye pia ni muigizaji wa filamu Beiby Madaha am… Read More
BABA YAKE P DIDDY ALIKUWA MFANYABIASHARA DAWA ZA KULEVYA Rapa P Diddy ametoa siri ya baba yake mzazi aliyejulikana kwa jina la Melvin Combs iliyokuwa i… Read More
Posted by Unknown
on Saturday, February 21, 2015,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "RIYAMA AZUNGUMZIA MAISHA YAKE YA KIMAPENZI"
Post a Comment