
Tukio hilo lilinaswa na KAMERA

Baada ya paparazi wetu kujitokeza na kuanza kuwafotoa, Inspector ambaye ni mume wa mtu alishituka na kujinasua kutoka kwenye mwili wa mwanadada huyo.Alipoulizwa juu ya kile alichokuwa akifanya wakati ni mume wa mtu, Inspector alisema:
“Kaka kwani kuna kibaya gani tulichokuwa tunafanya, tupo hapa tunapanga mambo yetu ya muziki na wala hakuna ishu zaidi.”BABY

0 Response to "BABY MADAHA NA INSPECTOR HAROUN WANASWA KIMAHABA"
Post a Comment