
anafanya siku kama ya leo na Queen alisema ” Siku kama ya leo inapofika saa 6 (Usiku) kama mwili wangu haupo msafi basi natia udhu kisha naanza sala na kumuomba mwenyezi Mungu kwa sababu kuna kuugua na
pia
kuna kufakwa najaribu kumuomba mwenyezi Mungu anisaidie uhai mrefu”Alipoulizwa kuhusu kama atafanya sherehe, Queen Darleen alisema ” Sijawahi kufanya sherehe
mimi kama mimi lakini leo marafiki zangu wakina Mwasiti, Almasi, K Star
0 Response to "ALICHOKISEMA QUEEN DARLEEN KUHUSU SIKU YAKE YA KUZALIWA "
Post a Comment