Albam hiyo itaingia sokoni rasmi November 24 na tayari ngoma mbili alizoachia kutoka kwenye albam hiyo zikifanya vizuri sana.
Wimbo wake wa Anaconda hivi sasa umeshika nafasi ya 3 katika Billboard Hot 100.
Angalia video akizungumzia Ushiriki wake kwenye 'The Carter V' ya Lil Wayne:
0 Response to "NICKI MINAJ ATANGAZA TAREHE YA KUACHIA ALBAM"
Post a Comment