Latest Updates

FILAMU YA SIX TIMES TWO IKO TAYARI KUINGIA SOKONI


             Six times two
Filamu ya Six times two imekamilika na inatarajia kutoka Tarehe 22. May. 2014, sinema hiyo ambayo imetengenezwa na mtayarishaji na mwigizaji wa filamu Zamo Chambo na kuwashirikisha wasanii nyota kama vile Jack Wolper,
“Ni kazi ambayo nimeifanya kwa ustadi mkubwa kabisa, ninatarajia kuwa wapenzi wa filamu Bongo watafurahia kuiona kazi inayoelimisha na kufundisha kwa jamii yetu,”

0 Response to "FILAMU YA SIX TIMES TWO IKO TAYARI KUINGIA SOKONI"

Post a Comment