Latest Updates

WYCLEF MATATANI

Wyclef Jean amekuwa akijulikana kama msanii mkubwa na mwenye uzito mkubwa katika musiki duniani. Lakini kwa mujibu wa mhasibu wake, anaweza kuishia kufilisika kama wasanii wengine ambao wameshakuwa katika nafasi kama yak wake.

Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa tarehe 21 mwezi machi, 2014 na mtandao wa The Smoking Gun, Wyclef anadaiwa na serikali dola za kimarekani milioni 2.9 (sawa na shilingi bilioni 4.75) za kodi. Smoking Gun imedai kuwa Wyclef alikubali kuilipa dola 100,000 kampuni ya wanasheria ya Shukat Arrow Hafer Weber and Herbsman ili kufutaa deni la dola 133,000.

Na kampuni hiyo ilikubali na kumambia kama angetoa dola 60,000 tu wangemsamehe dola 40,000, lakini kwa bahati mbaya alishindwa kutoa pesa hizo.

Inadaiwa Jean hakulipa hata senti moja katika deni la dola 100,000 anazodaiwa na kampuni hiyo. David Levin, ambaye ni mhasinbu wa Jean alituma barua pepe mwezi januari kwa mmoja wa wanao mdai jean ikiwa na ujumbe unaosema “kwa lugha ya kitaalamu kabisa…hakuna hela

0 Response to " WYCLEF MATATANI"

Post a Comment