
Video ya kawaida kabisa na nimecheza mwenyewe na wacheza show wangu, na nilifanya hivyo baada ya video yangu ya Majanga kulalamikiwa kuwa sikucheza,”
“Ni tatizo inakatisha tamaa wasanii wa Tanzania ndio tunaangaliwa lakini video za nje zipo na picha mbaya lakini hatujasikia zimefungiwa,”anasema Snura
Snura ambaye nyota yake inang’ara katika filamu na muziki anasema kuwa pamoja Serikali kujaribu kuangalia suala la ajira kwa vijana lakini changamoto ni nyingi sana wanazopambana nazo hasa suala la ushindani na kazi kutoka nje ambazo haziangaliwi na kupigwa marufu kuchezwa kama kazi za wasanii wa nyumbani.
“Ni tatizo inakatisha tamaa wasanii wa Tanzania ndio tunaangaliwa lakini video za nje zipo na picha mbaya lakini hatujasikia zimefungiwa,”anasema Snura
Snura ambaye nyota yake inang’ara katika filamu na muziki anasema kuwa pamoja Serikali kujaribu kuangalia suala la ajira kwa vijana lakini changamoto ni nyingi sana wanazopambana nazo hasa suala la ushindani na kazi kutoka nje ambazo haziangaliwi na kupigwa marufu kuchezwa kama kazi za wasanii wa nyumbani.
0 Response to "BASATA YAZIDI KUMWEKEA NGUMU SNURA"
Post a Comment