DEMU WAK 
Kufuatia ugomvi huo uliotokea ghorofa ya tano chumba namba 5, msanii huyo alitoka nduki akiwa na nguo ya ndani tu na kukimbia hadi chini na kutoweka jambo lilofanya wahudumu kuingia katika chumba hicho na kushuhudia uharibifu uliofanywa na wapenzi hao, huku kuta za chumba hicho zikiwa zimetapakaa kwa uchafu wa vyakula.
Msanii hiyo katika tukio hilo amepoteza vito vya thamani kama vile saa, mkufu, simu na vitu vinginevyo, hadi habari hizi zisizo na shaka zinatufikia msanii huyo alikuwa hapatikani katika simu yake ya mkononi, ili aweke wazi kilichopilekea ghafla na mpenzi wake kugeuzaa Hoteli ulingo wa masumbwi.
0 Response to "NIVA ACHEZEA KICHAPO KUTOKA KWA"
Post a Comment