MSANII wa filamu nchini Aunt Ezekiel ameweka wazi juu ya tukio la
kukamatwa kwa mumewake na kudai kuwa amekamatwa kutokana na viza yake
kuisha ambapo alishikiliwa kwa muda na alipokamilisha taratibu
aliachiwa.
Mume wa msanii huyo anajulikana kwa jina la Sunday Demonte ambapo msanii
huyo alidai kushtuka baada ya kupokea taarifa hizo hali ambayo imezidi
kumshangaza ni baada ya taalifa hizo kuvuma
0 Response to "AUNT EZEKIEL ASHANGAZWA KUKAMATWA KWA MUMEWAKE "
Post a Comment