Latest Updates

KANYE WEST ALIPA MILIONI 400 KWA AJILI YA KIM


MSANII wa Hip Hop kutoka nchini Marekani Kanye West amelipa zaidi ya shilingi milioni 400 kwa ajili ya watu wanaompamba mama watoto wake Kim Kardashiana .
Msanii huyo ambaye amekuwa akisindikizwa na mchumba wake katika ziara zake mbalimbali za kimuziki nchini Marekani ambapo amekuwa akihakikisha kuna watu kwa ajili ya kumpamba nywele Kim na kumfanyia make-up kwa mitindo yote mahali popote wanapohitajika.
Chanzo kimeutonya mtandao wa RadarOnline.com kuwa Kanye anatumia kiasi chochote kuufanya muonekano wake kuwa tayari kwa upigaji picha mkubwa muda wowote akitaka hivyo .

0 Response to "KANYE WEST ALIPA MILIONI 400 KWA AJILI YA KIM "

Post a Comment