Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Sara Kaisi 'Shaa' anatarajia kuachia video yake mpya ya wimbo wa 'Sugua Gaga'.
Akizungumzia maandalizi ya video hiyo Shaa aliweka wazi kuwa maandaalizi
ya video hiyo yameshakamilika kwani yameaandaliwa wiki mbili zilizopita
ambapo hivi karibuni itaanza kuonekana kwenye vituo vya runinga.
Aliweka wazi kuwa anaamini video hiyo itafanya vizuri kutokana na
maandalizi aliyoyafanya ikiwemo na kupiga picha ambazo zinazoonesha
uwalisia wa matukio
SHAA KUTOKA NA VIDEO YA 'SUGUA GAGA'
Related Post:
Babu Tale amtaka Dogo Janja aongee ukweli atamsaidia, ataja vitu anavyotaka aviweke wazi kwa watanzania Baada ya Dogo Janja kuuomba msamaha kupitia vyombo vya habari uongozi wa Tip Top… Read More
Christian Bella: Majungu, sifa na dharau zinaua bendi za dansi Tanzania Member wa zamani wa bendi ya Akudo ambaye hivi sasa ni kion… Read More
Happiness (Miss Tanzania 2013) aeleza kwa nini hawezi kushiriki kwenye video za wasanii na filamu Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa hana mpango wa kuonekana kwenye video z… Read More
Karrueche Tran alimuacha rasmi Chris Brown baada ya kumtembelea Rehab Mwanamitindo Karrueche Tran ameweka wazi kuwa alimuacha rasmi Chris Brow… Read More
Barack Obama na mkewe kuchora tattoo inayofanana, wapanga kupost picha zao Raisi wa Marekani, Barack Obama ameeleza kuwa kama watoto wao Malia na Sasha hawataamua k… Read More
Posted by Unknown
on Sunday, November 3, 2013,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "SHAA KUTOKA NA VIDEO YA 'SUGUA GAGA' "
Post a Comment