Msanii wa kike anayeonekana kwenye baadhi ya video za muziki wa bongo
fleva nchini Agnes Gerlad 'Masogange' ameanza tena vitu ambapo hivi sasa
ameonekana ametuma picha inayomuonesha akiwa na vazi la ufukweni, huku
likimuonesha sehemu kubwa ya mwili wake.
Mwanadada huyo ametuma picha hizo kwenye mtandao wake wa Istagram huku kukizuka na majadala mkubwa juu ya muonekano huo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "MASOGANGE ATOKEA NA VAZI LA UFUKWE "
Post a Comment