Msanii wa kike anayeonekana kwenye baadhi ya video za muziki wa bongo
fleva nchini Agnes Gerlad 'Masogange' ameanza tena vitu ambapo hivi sasa
ameonekana ametuma picha inayomuonesha akiwa na vazi la ufukweni, huku
likimuonesha sehemu kubwa ya mwili wake.
Mwanadada huyo ametuma picha hizo kwenye mtandao wake wa Istagram huku kukizuka na majadala mkubwa juu ya muonekano huo.
MASOGANGE ATOKEA NA VAZI LA UFUKWE
Related Post:
KOFFI OLOMIDE APAGAWISHA UGANDA LICHA ya kutawala kwa ukimya wa muda mrefu kwa mwanamuziki maarufu wa miondoko ya Kikongo, K… Read More
DIAMOND ASHINDWA KUZUIA HISIA ZAKE, ATOKWA NA MACHOZI IMESIBITISHWA kuwa wimbo ulioimbwa na msanii wa muziki nchini Profesa Jay aliomshirikisha Diamond… Read More
TAHADHARI KWA WATUMIAJI WA “INERNET EXPLORER” Mwishoni mwa juma pamegundul… Read More
Mfungwa awashitaki Jay Z, Beyonce, Kanye West, Chris Brown na Rihanna, adai walimuibia nyimbo 3,000 akiwa gerezani Katika hali isiyo ya kawaida, polisi wa California wamepokea mashitaka toka kwa mf… Read More
MWISHO KUANZA KUONEKANA TV 1 Aliyekuwa mshindi wa shindano la Bog Brother Africa Mr Morogoro ataanza kuonekana,kwenye Chennel … Read More
Posted by Unknown
on Thursday, November 7, 2013,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "MASOGANGE ATOKEA NA VAZI LA UFUKWE "
Post a Comment