Taarifa
zilizothibitishwa kutoka Katika klabu ya Simba ni kwamba kamati ya
utendaji ya klabu hiyo imemsimamisha mwenyekiti wa klabu Ismail Aden
Rage kuongoza timu hiyo.
Kuhusiana
na sababu zilizopelekea Rage kusimamishwa na kamati ya utendaji na Rage
amechukuliaje uamuzi wa kamati ya utendaji, endelea kutembelea mtandao
huu. Taarifa zaidi zitakujia
BREAKING NEWS: ADEN RAGE ASIMAMISHWA NA KAMATI YA UTENDAJI YA SIMBA
Posted by Unknown
on Tuesday, November 19, 2013,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "BREAKING NEWS: ADEN RAGE ASIMAMISHWA NA KAMATI YA UTENDAJI YA SIMBA "
Post a Comment