Latest Updates

UZINDUZI WA TUZO ZA TAFA NEW AFRICA HOTEL


             Kajala Masanja, Elizabeth Michael, Yobinesh Yusuf
Siku iliyokuwa ikisisubiriwa kwa hamu sana ilitimia siku ya Jumapili ya tarehe 23.November .2014 katyika ukumbi wa New Africa HOTEL ambapo tuzo kubwa kutarajiwa kufanyika Swahilihood kwa mara ya kwanza Bongo zijulikananazo kama Tanzania Film Awards TAFA 2014.

              Bi. Joyce Fisso, Prof. Elisante Gabriel
Wasanii wamepokea kwa furaha kubwa ujio wa tuzo hizo wakisema kuwa ni mkombozi wa tasnia ya filamu kwani kuwepo kwake kutachochea ukuaji wa filamu na vipaji pia kuongezeka, Prof. Elisante alifurahia mipango ya shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF).

               Mohamed Mtunis
Katibu huyo amemwahidi Rais wa Taff Simon Mwakifwamba, kuwa atahakikisha anawasaidia wasanii kuingia katika ujasiriamali ili kuwaongezea kipato na kupata uelewa katika harakati za maisha.

              Yusuf Mlela, Jimmy master

0 Response to "UZINDUZI WA TUZO ZA TAFA NEW AFRICA HOTEL"

Post a Comment