Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 mkazi wa Ilolo akituonyesha jinsi maji yalivyoharibu vitu vyake
|
Kanisa la Moravian Ilolo likiwa limejaa maji ndani
|
Hakika inasikitisha watoto hawa wametoka shule wanakuta nyumba yao imebomoka na mvua kubwa ilionyesha jijini Mbeya wazahi wa watoto hao hawakuwepo nyumbani
|
Mwenyekiti wa mataa Sinde A Anyandwile Mwansanu akiongea na waandishi wa habari
|
Mama na mwanae mgongoni hajui aanzie wapi kutoa maji yalioingia nyumbani kwake
|
Picha na Mbeya yetu
|
0 Response to "PICHA::MVUA KUBWA ZILIZONYESHA JIJINI MBEYA ZALETA MAFURIKO NA UHARIBIFU ENEO LA ILOLO"
Post a Comment